WILSON KOLINA ELISHA

WILSON KOLINA ELISHA

BLOG HII NI MUHIMU KWA JAMII KUTOKANA NA KUJIKITA KATIKA KUANDIKA HABARI TOFAUTI ZA UHAKIKA NA ZILIZOFANYIWA UCHAMBUZI WA KINA...........

Friday, April 20, 2018

JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI MWANZA LATOA ELIMU KWA WADAU


Kutokuwepo kwa miundombinu rafiki ,Ujenzi  holela katika vilima na makazi katika maeneo yasiyozingatia sheria za  mipango miji katika jiji la Mwanza  kumetajwa kuwa miongoni mwa sababu zinazochangia Jeshi la zima moto na uokoaji kushindwa kufanikiwa pindi majanga ya moto yanapotokea.

No comments:

Post a Comment