WILSON KOLINA ELISHA

WILSON KOLINA ELISHA

BLOG HII NI MUHIMU KWA JAMII KUTOKANA NA KUJIKITA KATIKA KUANDIKA HABARI TOFAUTI ZA UHAKIKA NA ZILIZOFANYIWA UCHAMBUZI WA KINA...........

Monday, April 9, 2018

JUMUIYA YA WAZAZI NYAMAGANA KUSHIRIKIANA NA WADAU WA MAZINGIRA

Jumuiya ya wazazi wa Chama cha Mapinduzi CCM wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza itaendelea kushirikiana na wadau wa mazingira katika kuhakikisha utunzaji na uboreshaji wa mazingira unakidhi matakwa ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi kwa kuhimiza upandaji  miti na utunzaji na utunzaji wake.

No comments:

Post a Comment