WILSON KOLINA ELISHA
WILSON KOLINA ELISHA
BLOG HII NI MUHIMU KWA JAMII KUTOKANA NA KUJIKITA KATIKA KUANDIKA HABARI TOFAUTI ZA UHAKIKA NA ZILIZOFANYIWA UCHAMBUZI WA KINA...........
Monday, April 9, 2018
JUMUIYA YA WAZAZI NYAMAGANA KUSHIRIKIANA NA WADAU WA MAZINGIRA
Jumuiya
ya wazazi wa Chama cha Mapinduzi CCM wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza itaendelea
kushirikiana na wadau wa mazingira katika kuhakikisha utunzaji na uboreshaji wa
mazingira unakidhi matakwa ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi kwa
kuhimiza upandaji miti na utunzaji na
utunzaji wake.
Labels:
siasa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment