Sehemu ya baadhi ya wachungaji na waumini wakimsikiliza mchungaji Boniphace Mponeja akihubiri katika ibada ya mahafali ya sita chuo kikuu cah Mount Meru Tawi la Mwanza |
Mkurugenzi mkazi wa Chuo kikuu cha Mount Meru kinachomilikiwa na kanisa la BAPTIST Nancy Giddens akitoa maelezo mafupi juu ya wahitimu wa Chuo kikuu hico kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi . |
No comments:
Post a Comment