WILSON KOLINA ELISHA

WILSON KOLINA ELISHA

BLOG HII NI MUHIMU KWA JAMII KUTOKANA NA KUJIKITA KATIKA KUANDIKA HABARI TOFAUTI ZA UHAKIKA NA ZILIZOFANYIWA UCHAMBUZI WA KINA...........

Thursday, February 13, 2014

KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI SENGEREMA CHA PITISHA BAJETI ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 63.2

Madiwani wa Halmashuri ya wilaya ya Sengerema mkoa wa Mwanza wakati wa kikao cha bajeti ya mwaka wa fedha 2014/2015 wakimsikiliza mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Danstan Mallya hayupo pichani
Kikao cha baraza la madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza wakimsikiliza mkuu wa wilaya hiyo Kalen Yunus hayupo pichani akitoa maagizo ya serikali kwa madiwani na wakuu wa idara kusimamia miradi iliyopitishwa.
Baadhi ya watalaam wa idara mbalimbali katika halmashauri ya wilaya ya Sengerema mkoa wa Mwanza wakiwa katika kikao cha Baraza la madiwani wa halamshauri hiyo cha bajeti ya mwaka 2014/2015 .
Mkuu wa wilaya ya Sengerema Kalen Yunus akiwasisitizia madiwani na wakuu wa idara wakusimamia  vema  miradi iliyopitishwa ili kuwaletea maendeleo wananchi wa wilaya hiyo.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Sengerema Mheshimiwa Mathew Lubongeja  akifunga kikao cha Baraza la madiwani wa wilaya hiyo cah akupitisha bajeti ya mwaka wa fedha wa 2014/2015
Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Sengerema mkoa wa Mwanza Danstan Mallya aliyesimama akielezea suala la bajeti ya mwaka 2014/2015 ya  wilaya hiyo katika kikao cha Baraza  la madiwani wa halmashauri hiyo.

No comments:

Post a Comment