Baraza la Sanaa Tanzania BASATA
limeombwa kudhibiti kazi za sanaa za
maonesho zikiwemo FILAMU ambazo
zinatolewa na vikundi vya wasanii nchini ambazo zitakuwa zinakiuka maadili ya kitanzania jambo linalo changia mmomonyoko wa maadili ndani ya jamii.
limeombwa kudhibiti kazi za sanaa za
maonesho zikiwemo FILAMU ambazo
zinatolewa na vikundi vya wasanii nchini ambazo zitakuwa zinakiuka maadili ya kitanzania jambo linalo changia mmomonyoko wa maadili ndani ya jamii.
Mwalimu wa sanaa Peter Samwel Achimwene wa kikundi cha sanaa cha Mpanda
Chombo cha jijini Mwanza amewataka wazazi na walezi kutambua kuwa sanaa ni kazi kama zilivyo kazi nyingine na kwmba pamoja
na kuwepo kwa vikundi vingi vya wasanii nchini lakini bado kazi zao nyingi
hazijajikita katika kuielimisha jamii kwa kufuata tamaduni za Kitanzania.
Chombo cha jijini Mwanza amewataka wazazi na walezi kutambua kuwa sanaa ni kazi kama zilivyo kazi nyingine na kwmba pamoja
na kuwepo kwa vikundi vingi vya wasanii nchini lakini bado kazi zao nyingi
hazijajikita katika kuielimisha jamii kwa kufuata tamaduni za Kitanzania.
No comments:
Post a Comment