WILSON KOLINA ELISHA

WILSON KOLINA ELISHA

BLOG HII NI MUHIMU KWA JAMII KUTOKANA NA KUJIKITA KATIKA KUANDIKA HABARI TOFAUTI ZA UHAKIKA NA ZILIZOFANYIWA UCHAMBUZI WA KINA...........

Wednesday, May 16, 2018

BASATA WATAKIWA KUDHIBITI KAZI ZA WASANII HAWA........



Baraza la Sanaa Tanzania BASATA
limeombwa kudhibiti  kazi za sanaa za
maonesho zikiwemo FILAMU   ambazo
zinatolewa na vikundi vya wasanii nchini ambazo  zitakuwa zinakiuka  maadili ya kitanzania jambo linalo changia  mmomonyoko wa maadili ndani ya jamii.

Mwalimu wa  sanaa Peter Samwel Achimwene wa kikundi cha sanaa cha Mpanda
Chombo cha jijini Mwanza 
amewataka  wazazi na walezi kutambua kuwa sanaa ni  kazi kama zilivyo kazi nyingine na kwmba pamoja
na kuwepo kwa vikundi vingi vya wasanii nchini lakini bado kazi zao nyingi
hazijajikita katika kuielimisha jamii kwa kufuata tamaduni za Kitanzania.


No comments:

Post a Comment