WILSON KOLINA ELISHA

WILSON KOLINA ELISHA

BLOG HII NI MUHIMU KWA JAMII KUTOKANA NA KUJIKITA KATIKA KUANDIKA HABARI TOFAUTI ZA UHAKIKA NA ZILIZOFANYIWA UCHAMBUZI WA KINA...........

Friday, April 13, 2018

Save changesWATANO WASHIKILIWA NA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA KWA MAUAJI


Watu watano wakiwemo waganga wawili wa kienyeji  wanashikiliwa na kamati ya ulinzi na usalama wilayani Misungwi mkoani Mwanza kwa tuhuma za kujihusisha na mtandao wa mauaji ya wanawake wanane kwa kuwakata mapanga kuwanyofoa viungo vya sehemu za siri  na matiti na kuuza kwa waganga wa kienyeji kwa imani za kishirikina.

No comments:

Post a Comment