WILSON KOLINA ELISHA

WILSON KOLINA ELISHA

BLOG HII NI MUHIMU KWA JAMII KUTOKANA NA KUJIKITA KATIKA KUANDIKA HABARI TOFAUTI ZA UHAKIKA NA ZILIZOFANYIWA UCHAMBUZI WA KINA...........

Wednesday, August 7, 2013

Benki ya FBME yawakumbuka yatima katika sikukuu ya Eid el Fitr

Eid el Fitr hiyooo!

Add caption
Watoto wakipokea misaada
Jukumu la kuwasaidia watoto yatima ,na wale wanaoishi katika mazingira hatarishi na  magumu inahitaji nguvu ya pamoja kwa kushirikiana na jamii pamoja na wadau ili kunusuru  changamoto zinazowakabili watoto hao 
.
Baaadhi ya wafanyakazi wa FBME wenye sare wakiwa na Sheikh Abeid Musa wa kwanza kushoto,Imam wa msikiti wa Al Masjid Ibrahim Said Simba wa pili kulia na mkurugenzi wa blog hii Wilson Elisha Kolina (mwenye camera)
Baadhi ya watumishi wa kike wa Benki ya FBME tawi la Mwanza wakikabidhi mbuzi kwa watoto yatima

Meneja wa Benki ya FBME tawi la Mwanza Joseph Lugano akikabidhi baadhi ya misaada kwa Sheikh Abeid Musa wa msikiti wa Al Masjid Ibrahim wa Butimba B jijini Mwanza


No comments:

Post a Comment