WILSON KOLINA ELISHA

WILSON KOLINA ELISHA

BLOG HII NI MUHIMU KWA JAMII KUTOKANA NA KUJIKITA KATIKA KUANDIKA HABARI TOFAUTI ZA UHAKIKA NA ZILIZOFANYIWA UCHAMBUZI WA KINA...........

Tuesday, January 7, 2014

BENKI YA FBME TAWI LA MWANZA YATOA MSAADA KWA WATOTO YATIMA

Baadhi ya watoto wa kituo cha kulelea watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magumu cha Christ's Hope Tanzania cha jijini Mwanza wakisubiri wageni kutoka Benki ya FBME.
                   Mratibu  wa kituo cha Christ's Hope Tanzania {mwenye fulana ya kijani}akiwapokea wageni kutoka FBME
Operation Maneger FBME  Bibi. Winnie Rutabihirwa akikabidhi kwa mwakilishi wa watoto 




Add caption
Wafanyakazi wa FBME na walezi wa kituo cha Watoto  katika picha ya pamoja
Mratibu wa  kituo cha Christ's Hope Tanzania  Erick Farahani  akishukuru msaada wa benki ya FBME




No comments:

Post a Comment