Baadhi ya makontena ya kuhifadhia taka ngumu yaliyokabidhiwa |
makontena ya kuhifadhia taka ngumu katika mradi huo |
Baadhi ya wafanyakazi wa MWAUWASA na wadau wa maji wakishuhudia kukabidhiwa kwa vitendea kazi katika mradi wa maji |
Naibu Waziri wa Maji Mhe. Binilith Mahenge akiwasha moja ya matarekta yaliyokabidhiwa |
Kushoto ni Naibu Waziri wa Maji Mhe. Binilith Mahenge akimkabidhi funguo za gari mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Ukerewe Mhe. Joseph Mkundi |
Naibu Waziri wa Maji akiwa katika picha ya pamoja na viongozi mballimbali |
Katikati ni Naibu waziri wa maji Mhe. Binilith Mahenge akiwa katika picha ya pamoja n baadhi ya wafanyakazi wa MWAUWASA |
Mkurugenzi mtendaji wa MWAUWASA mhandisi Anthon Sanga akimuonyesha Naibu Waziri wa Maji Mhe. Binilith Mahenge moja ya magari yakubebea maji taka katika mradi huo |
No comments:
Post a Comment