![]() |
| Baadhi ya makontena ya kuhifadhia taka ngumu yaliyokabidhiwa |
![]() |
| makontena ya kuhifadhia taka ngumu katika mradi huo |
![]() |
| Baadhi ya wafanyakazi wa MWAUWASA na wadau wa maji wakishuhudia kukabidhiwa kwa vitendea kazi katika mradi wa maji |
![]() |
| Naibu Waziri wa Maji Mhe. Binilith Mahenge akiwasha moja ya matarekta yaliyokabidhiwa |
![]() |
| Kushoto ni Naibu Waziri wa Maji Mhe. Binilith Mahenge akimkabidhi funguo za gari mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Ukerewe Mhe. Joseph Mkundi |
![]() |
| Naibu Waziri wa Maji akiwa katika picha ya pamoja na viongozi mballimbali |
![]() |
| Katikati ni Naibu waziri wa maji Mhe. Binilith Mahenge akiwa katika picha ya pamoja n baadhi ya wafanyakazi wa MWAUWASA |
![]() |
| Mkurugenzi mtendaji wa MWAUWASA mhandisi Anthon Sanga akimuonyesha Naibu Waziri wa Maji Mhe. Binilith Mahenge moja ya magari yakubebea maji taka katika mradi huo |









No comments:
Post a Comment