WILSON KOLINA ELISHA

WILSON KOLINA ELISHA

BLOG HII NI MUHIMU KWA JAMII KUTOKANA NA KUJIKITA KATIKA KUANDIKA HABARI TOFAUTI ZA UHAKIKA NA ZILIZOFANYIWA UCHAMBUZI WA KINA...........

Thursday, February 5, 2015

GNP WAANDAA MDAHALO WA MABADILIKO YA TABIA NCHI WILAYNI NYANG'HWALE MKOANI GEITA

Mkuu wa wilaya ya Nyang'hwale mkoa wa Geita akisisitiza jambo fulani kwa washiriki wa mdahalo wa mabadiliko ya tabia nchi ambao umefanyika katika ukumbi wa hotel ya Suube wilaynai Nyang'hwale.

Afisa mazingira wa wilaya ya Geita Bi. Hellen Eustace akitoa mada juu ya mabadiliko ya tabia nchi  kwa washiriki hawapo pichani wakati wa mdahalo wilayani Nyang'hwale

Kulia ni mkuu wa wilaya Ibrahim Marwa na katibu Tawala wa wilaya hiyo wakiwasikiliza washiriki wa mdahalo wa mabadiliko ya tabia nchi wakati wakichangia mada hiyo







Wawezeshaji wa mdahalo huo wakiwasikiliza washiriki wakati wakichangia mada ya mdahalo wa mabadiliko ya tabia nchi

Washiriki wa mdahalo wa mabadiliko ya tabia nchi wilayani Nyang'hwale

Washiriki wa mdahalo
Wakati wa mdahalo wakichangia mada ya mabadiliko ya tabia nchi
Mmoja wa wanafunzi wa shule ya sekondari wilayani Nyang'hwale  akichangia mada ya mabadiliko ya tabia nchi.

Kushoto ni aliyesimama ni katibu mtendaji wa GNP Isaka Kubiri akieleza malengo ya mdahalo huo kwa washiriki

Kulia ni katibu mtendaji wa mtandao wa mashirika yasiyo ya kiserikali  wilayani Geita GNP  Isaka Kubiri akifanya mahojiano na wandishi wa habari baada ya kumalizika kwa mdahalo wa mabadiliko ya tabia nchi ambao umewashirikisha wadau mbalimbali wakiwemo wanafunzi wa shule za sekondari wilayani Nyang'hwale mkoani Geita




No comments:

Post a Comment