![]() |
| Mkuu wa wilaya ya Nyang'hwale mkoa wa Geita akisisitiza jambo fulani kwa washiriki wa mdahalo wa mabadiliko ya tabia nchi ambao umefanyika katika ukumbi wa hotel ya Suube wilaynai Nyang'hwale. |
![]() |
| Afisa mazingira wa wilaya ya Geita Bi. Hellen Eustace akitoa mada juu ya mabadiliko ya tabia nchi kwa washiriki hawapo pichani wakati wa mdahalo wilayani Nyang'hwale |
![]() |
| Kulia ni mkuu wa wilaya Ibrahim Marwa na katibu Tawala wa wilaya hiyo wakiwasikiliza washiriki wa mdahalo wa mabadiliko ya tabia nchi wakati wakichangia mada hiyo |
![]() |
![]() |
![]() |
![]() |
| Wawezeshaji wa mdahalo huo wakiwasikiliza washiriki wakati wakichangia mada ya mdahalo wa mabadiliko ya tabia nchi |
![]() |
| Washiriki wa mdahalo wa mabadiliko ya tabia nchi wilayani Nyang'hwale |
![]() |
| Washiriki wa mdahalo |
![]() |
| Wakati wa mdahalo wakichangia mada ya mabadiliko ya tabia nchi |
![]() |
| Mmoja wa wanafunzi wa shule ya sekondari wilayani Nyang'hwale akichangia mada ya mabadiliko ya tabia nchi. |
![]() |
| Kushoto ni aliyesimama ni katibu mtendaji wa GNP Isaka Kubiri akieleza malengo ya mdahalo huo kwa washiriki |













No comments:
Post a Comment