Kushoto ni Hakimu mkazi mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Mwanza Suniva Mwanjombe akimsainisha kiapo cha uhandisi mhandisi wa Ofisi ya katibu Tawala Mkoa wa Iringa David Michael |
Kulia ni Mhandisi David Michael akikabidhiwa hati ya kiapo cha uhandisi na hakimu mkazi wa mahakama ya hakimu mkazi wa Mkoa wa Mwanza Suniva Mwanjombe |
No comments:
Post a Comment