WILSON KOLINA ELISHA

WILSON KOLINA ELISHA

BLOG HII NI MUHIMU KWA JAMII KUTOKANA NA KUJIKITA KATIKA KUANDIKA HABARI TOFAUTI ZA UHAKIKA NA ZILIZOFANYIWA UCHAMBUZI WA KINA...........

Tuesday, February 27, 2018

Zaidi ya waajiri 11,000 nchini washindwa kujiunga na mfuko wa WCF



 Serikali imeagiza  Mfuko wa Fidia wa wafanyakazi nchini  WCF  kuwachukulia hatua za kisheria  ikiwemo kuwafikisha mahakamani  zaidi ya waajiri 11,00 nchini  kwa  kushindwa kujiunga na mfuko huo kama serikali ivyoelekeza

No comments:

Post a Comment