Huu ni mtaa wa Lumumba jijini Mwanza karibu na msikiti wa Ijumaa ukiwa umefurika maji kufuatia mvua kubwa iliyonyesha jijini humo. |
Mtaa wa Luimumba karibu na msikiti wa Ijumaa ukiwa umefurika maji Huu ni mtaa wa sokoni ukiwa umefurika maji kufuatia mvua kubwa iliyonyresha jijini Mwanza ambayo hata hivyo haikuleta madhara |
Maji yakiwa yamefurika katika mataa wa sokoni kufuatia mvua kubwa iliyonyesha jijini Mwanza |
Hii ndiyo hali halisi ya mtaa wa sokoni jijini Mwanza ilivyokuwa baada ya mvua kubwa kunyesha Januari 13, 2014 |
Mtaa wa sokoni jijini Mwanza ukiwa umefurika maji |
Huu ni mtaa wa Sokoni |
Hii ndiyo adha waliyoipata baadhi ya wakazi wa jijini la Mwanza waliokuwa katika mtaa wa sokoni |
No comments:
Post a Comment