Mwenge wa Uhuru ukiwa katika eneo la Zahanati ya kijiji cha Nyalikungu wilayani Busega mkoani Simiyuhuku kiongozi wa mbio za mwenge wa Uhuru kitaifa 2014 Rachel Stephen Kassanda hayupo pichani akiwa anawahutubia wananchi wa eneo hilo |
Add caption |
Baadhi ya wananchi katika kijiji cha Nyalikungu wilayani Busega mkoani Simiyu wakishika mwenge wa Uhuru kutoka kwa wakimbiza mwenge huo |
Baadhi ya watumishi wa sekya ya afya katika Zahanati ya Nyalukungu iliyoko wilaya ya Busega wakiwa katiuka picha ya pamoja kabla ya kiongozi wa mbio z amwenge wa uhuru kitaifa kuzindua jengo hilo
No comments:
Post a Comment