WILSON KOLINA ELISHA

WILSON KOLINA ELISHA

BLOG HII NI MUHIMU KWA JAMII KUTOKANA NA KUJIKITA KATIKA KUANDIKA HABARI TOFAUTI ZA UHAKIKA NA ZILIZOFANYIWA UCHAMBUZI WA KINA...........

Wednesday, October 1, 2014

FAINALI YA MASHINDANO YA ALLIANCE EAST AFRICA CUP 2014 JIJINI MWANZA

Viongozi  na wageni waalikwa wakiangalia kwa makini mchezo wa  fainali ya katika mashindano ya Alliance Cup 2014 baina ya timu ya Alliance  chini ya miaka 17 na Makongo ya jijini Dar Es Salaam

Mashabiki waliofurika kwenye uwanja wa Alliance Mahina jijini Mwanza wakiangaliamchezo wa  fainali


Benchi la wachezaji wa timu ya Makongo wakiangalia mchezo wa fainali unavyoendela baina ya timu yao na timu ya Alliance ya jijini Mwanza

Benchi la wachezaji waakiba wa  timu ya Alliance wakiangalia kwa makini mchezo wa fainali

Hekaheka za mchezo wa fainali baina ya timu za Alliance na Makongo

 Katika mchezo huo timu ya Alliance iliibuka na ushindi wa bao 1 - 0 dhidi ya Makongo ya Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment