WILSON KOLINA ELISHA

WILSON KOLINA ELISHA

BLOG HII NI MUHIMU KWA JAMII KUTOKANA NA KUJIKITA KATIKA KUANDIKA HABARI TOFAUTI ZA UHAKIKA NA ZILIZOFANYIWA UCHAMBUZI WA KINA...........

Tuesday, December 23, 2014

HOSPITALI YA RUFAA YA SEKOU TOURE MKOANI MWANZA YAPATA CHETI CHA NYOTA MBILI




















 Katibu Tawala wa Mkao wa Mwanza Dokta Faisal Issa akitoa maelezo mafupi kabla ya kumkaribisha Mkuu wa wilaya ya Nyamaganba Baraka Konisaga wakati wa hafla ya kukabisdhi cheti cha Nyota mbili kwa hospitali ya Rifaa ya Sekou Toure 
 Juu ni Mkuu wa wilaya ya Nyamagana Baraka Konisaga akisisitiza jambo kwa wataalamu wa Afya  kuhusu huduma za Afya zinazotolewa katika hospitali ya Sekou Toure na maeneo mengine Mkoani Mwanza





Picha za chini ni sehemu ya watumishi wa hospitali ya SekouToure na baadhi ya wageni waalikwa wakati wa hafla ya kukabidhi cheti cha Nyota mbili cha ubora ngazi ya kimataifa cha huduma ya maabara







Mkuu wa wilaya ya Nyamagana Mkoani Mwanza Baraka Konisaga akisoma hotuba kwa niaba ya Mkuu wa Mkao wa Mwanza Magesa Mlongo kabla ya kukabidhi cheti cha ubora katika hafla ambayo imefanyika katika ukumbi wa Kipepeo wa Hoteli ya Mwanza.




Wapili kutoka kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Nyamagana Baraka Konisaga akimkabidhi  Mwenyekiti wa bodi ya hospitali ya Rufaa ya Sekou Toure Christopher Mwita Gachuma cheti cha ubora ha huduma ya maabara kinachotambulika kimatifa na Shirika la Afya Duniani WHO 






















No comments:

Post a Comment