WILSON KOLINA ELISHA

WILSON KOLINA ELISHA

BLOG HII NI MUHIMU KWA JAMII KUTOKANA NA KUJIKITA KATIKA KUANDIKA HABARI TOFAUTI ZA UHAKIKA NA ZILIZOFANYIWA UCHAMBUZI WA KINA...........

Wednesday, December 24, 2014

MVUA MWANZA SHUGHULI ZA KIUCHUMII NA KIJAMII ZA SIMAMA ZAIDI YA SAA TANO

Hii ndiyo hali halisi kufuatia mvua iliyonyesha leo zaidi ya saa tano jijini Mwanza na kusababisha baadhi ya shughuli za kiuchumi na kijamii kusimama kutokana na daraja la Mabatini wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza kujaa maji na kumeguka hali iliyosababisha msongamano mkubwa wa magari katika maeneo mbalimbali ya jiji.







No comments:

Post a Comment