Ummati wa watu waliofurika katika mkutano uliofanyika katika eneo la bendera tatu mara baada ya kumaliza kuzindua mashina ya wakereketwa wa CCM katika kata ya Mahina wilayani Nyamagana jijini Mwanza |
Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM kata ya Mahina James Bwire akitoa maelekezo kwa mmoja wa viongozi wa umoja wa vijana UVCCM kabla ya kuanza kutoa hotuba yake kwa wananchi waliofika katika mkutano huoi. |
Kulia ni mwenyekiti wa CCM kata ya Mahina James Bwire akiteta jambo na badhi ya viongozi wa chama hicho katika kata hiyo |
Mbele ni mwenyekiti wa CCM kata ya Mahina James Bwirew akiongoza ummati wa wananchi wa katika kata hiyo kuchukua chakula baada ya kumaliza ziara yake |
Add caption |
Akikata utepe kuashiria uzinduzi wa shina la mojawapo la wakereketwa wa CCM kata ya Mahina ni Mwenyekiti wa CCM kata ya Mahina James Bwire |
Mjumbe wa kamati ya siasa ya Halmashauri kuu ya wilaya ya Nyamagana James Bwire akiwa tayari amemaliza kufungua shina mojawapo kati ya tisa katika kata ya Mahina wilayani humo |
No comments:
Post a Comment