WILSON KOLINA ELISHA

WILSON KOLINA ELISHA

BLOG HII NI MUHIMU KWA JAMII KUTOKANA NA KUJIKITA KATIKA KUANDIKA HABARI TOFAUTI ZA UHAKIKA NA ZILIZOFANYIWA UCHAMBUZI WA KINA...........

Saturday, November 7, 2015

MWINGILIANO WA MAJUKUMU KIKWAZO KUKUZA VIPAJI VYA WACHEZAJI NCHINI







Wakati ikiwa imebaki  wiki moja kabla ya kuanza  ligi daraja la pili  msimu wa mwaka 2015/2016 mwingiliano wa majukumu  katika  kukuza na kuendeleza vipaji vya wachezaji vimetajwa kuwa ni miongoni mwa sababu  zinazochangia kutofikia malengo yanayokusudiwa



Michuano ya ligi daraja la pili inazishirikisha timu 24 ambazo  zimepangwa katika makundi manne yenye timu sita kila kundi



No comments:

Post a Comment