WILSON KOLINA ELISHA

WILSON KOLINA ELISHA

BLOG HII NI MUHIMU KWA JAMII KUTOKANA NA KUJIKITA KATIKA KUANDIKA HABARI TOFAUTI ZA UHAKIKA NA ZILIZOFANYIWA UCHAMBUZI WA KINA...........

Wednesday, November 18, 2015

VIONGOZI WA DINI WA KAMATI YA AMANI MKOANI MWANZA





 Wandishi wa habari wakiwa kazini wakati viongozi wa dini wa kamati ya Amani mkoani Mwanza wakiwa  wanatoa tamko la kusisitiza Amani itawale wakati wa uchaguzi mkuu wa Rais wabunge na madiwani jambo ambalo limefanikiwa kwa kiwango kikubwa


 Mbele kutoka kulia ni mlezi wa viongozi  wa kamati ya dini Mansoor Altaf Dogoo akiwa na viongozi wenzake wakimsikiliza mwenyekiti wa kamati hiyo wakati akitoa tamko 

 VIONGOZI  WA DINI WA KAMATI YA AMANI  MKOA WA MWANZA WAKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA  BAADA YA KUMALIZA KIKAO CHAO NA WANDISHI WA HABARI SIKU CHACHE KABLA YA KUFANYIKA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 25 2015


Kamati hiyo ilifanya kazi kubwa ambayo ilifanikisha kuhamasisha wananchi  katika suala la kulinda amani kabla  wakati n abaada ya uchaguzi  mkuu wa Rais wabunge na madiwani uliofanyika Oktoba 25 mwaka 2015

No comments:

Post a Comment